Welcome to your GRADE 3 KISWAHILI
SHUGHULI ZA KISWAHILI GREDI YA 3MADA: KUSIKILIZA NA KUONGEA.MADA NDOGO: KUTAMKA SAUTI ng pamoja.Je, unajua majina ya wanyama hawa?Wa kwanza huitwa ngiri.Wa pili huitwa nguruwe.Je, unaweza kutamka maneno ngiri na nguruwe?Soma maneno haya:
2. ______ ni nguruwe wa mwituni.
3. Jina lingine la mavazi ni _____
4. Katikati ya bendera ya Kenya pamechorwa ___
5. Hupigwa kanisani watu wakiimba____
6. ______ ya ng'ombe hutengeneza mpira.
7. Mtu akijikata mkono ______ itatoka.
8. Kabla hujaingia ndani, ni vizuri ________ mlango.
9. Mbuzi anapochinjwa huwa anatolewa _____
10. Kuku wa porini huitwa _____
Time's up
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *
Website
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ