STD 7 S/STJune 22, 2020S/STUDIES 6June 22, 2020 0 KISWAHILI 4 Welcome to your KISWAHILI 4 Names Class Phone Number SHUGHULI ZA KISWAHILI GREDI YA 4VIHUSISHITazama picha hizi1. Juma anasoma kitabu akiwa wapi?2. Samaki yupo wapi?3. Tofaa liko wapi?4. Kijibwa kimekaa wapi?Tofaa liko mbele ya katoni nacho kijibwa kimekaa karibu na mama yake. Juma naye amekaa chini ya mti. Maneno mbele ya, karibu na, chini ya huitwa vihusishi.Sasa jibu maswali yafuatayo kwa kihusishi kinachofaa.1. Mgeni amesimama _________ ofisi akimngoja sekretari. nje ya juu ya None 2. Mimi huketi _________ mwalimu wetu darasani. chini ya karibu na None 3. Shule yetu iko ____________ jiji la Mombasa. mbali na karibu ya None 4. Mshukiwa alisimama _________ ya jaji kujibu mashtaka. juu ya mbele ya None 5. Paa liko ________ nyumba ndani ya juu ya None 6. Ukisimama _____________ barabara utagongwa na gari katikati ya juu ya None 7. Mimi hulala ______ ndugu yangu nyuma na kando ya None 8. Keti _______ mimi nikufundishe kushona. juu ya karibu na None 9. Ukoko hupatikana _________ sufuria ndani ya nje ya None Time's up Wanto Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ