KISWAHILI 3..September 16, 2020KISWAHILI 8September 16, 2020 1 KISWAHILI 6 Welcome to your KISWAHILI 6 Name Class Phone KISWAHILI DARASA LA 6MASWALI YA MAJARIBIO.Kutoka swali la 1-15, chagua jibu lililo bora zaidi kujalizia pengo.Mwaka wa elfu mbili na.....1...... umekuwa mwaka wa mateso ....2.....Wakenya wengi. Virusi vya korona vinavyosababisha .......3...... ya ......4........ vimekuwa tisho kwa kila ....5...... . Shule zimefungwa na kuwaacha wanafunzi ....6.... . Biashara nyingi ....7..... zimeshindwa .......8...... . Watu wamepigwa .......9..... kazini na kampuni ....10...... kufunga. Wenye nyumba za ......11..... nao hawana huruma. Wanafurusha wateja kama kuku. Ole ......12....! Tutaenda wapi? Chakula balaa, na ......13..... si lishe bora, bora mkono .....14..... mdomoni. ..........15.........Tusaidie.1. ishirini isirini ishilini None 2. kama na kwa None 3. maradhi ugonjwa ndwele None 4. Ukimwi Covid-19 Kuendesha None 5. mtu watu mtoto None 6. kinywa mdomo kinywa wazi kinywa omba None 7. nazo nayo nao None 8. kujihimili kujiasa kujinasa None 9. viboko kalamu karamu None 10. mingi nyingi wengi None 11. kupangisha kulipia kupeana None 12. wao wako wetu None 13. inayopatikana kinachopatikana unachopatikana None 14. utoke uende ufunge None 15. Yarabi Stara! Mashallah! Alhamdulillahi! None Kutoka swali la 16-20, jibu kila swali kulingana na maagizo yake.16. Tumia ote vizuri. Mahali ......... kumenyesha usiku kucha. mote pote kote None 17. Wanyama tunaofuga nyumbani kama vile:kuku, ng'ombe, mbuzi, paka na mbwa huitwa...... wanyamahowa wanyamafungwa wanyamapori None 18. Chagua sentensi inayoonyesha ki cha masharti. Mama alikuwa akioga tulipofika. Ukija kwangu nitakupikia wali wa kupaka. Kijiko cha kupakulia chakula huitwa upawa. None 19. Kamilisha methali. Ukiona vyaelea......... vitolokee jua ni jahazi jua vimeundwa None 20. Vua ni kutoa samaki majini, vua pia ni...... kusafisha nguo kwa maji na sabuni Kukosa kukua vizuri kwa kukosa chakula kutoa nguo mwilini. None Time's up Wanto Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ