SOMO LA KISWAHILI
KAULI YA KUTENDESHA

Tazama picha hii. Mwalimu anafanya nini?
Kauli ya kutendesha huonesha mtu akifanya mtu mwengine afanye jambo, au kitu kikifanya kingine kifanye jambo. Katika picha hii, mwalimu anawafanya wanafunzi wasome, kwa hivyo anawasomesha.
Kauli ya kutendesha ina jinsi sita kama ifuatavyo:
1. Kitenzi huishia kwa -sha
soma - somesha
pika - pikisha
andika - andikisha
2. Kitenzi huishia kwa -za
fanya - fanyiza
penda - pendeza
oa - oza
3. Kitenzi hushia kwa -vya
lewa - levya
nawa - navya
lowa - lovya
4. Kitenzi huishia kwa -fya
ogopa - ogofya
ongopa - ongofya
5. Kitenzi huishia kwa -sa
tokota - tokosa
nata - nasa
6. Kitenzi huishia kwa -nya
gawana - gawanya
pona - ponya
MASWALI.
Jaza mapengo katika sentensi hizi kwa kutumia kitenzi katika kauli ya kutendesha.
1. Siti Maria alim_____ mtoto kitandani alipolia.