KISWAHILI 8,,

KISWAHILI GREDI YA 4 MWISHO WA MWAKA 2024
June 28, 2020
GRADE 2 CRE
June 30, 2020

KISWAHILI 8,,

Welcome to your KISWAHILI 8,,

KISWAHILI DARASA LA 8

SOMO : KAULI YA KUTENDEKA.

Tazama picha hizi.
(i) Huyu ni mzee Thuranira. Mzee Thuranira amelima shamba lake ili apande viazi. Shamba hili limelimwa likalimika.
 (ii) Huyu ni mam Sein. Mama Sein amepika chakula kitamu sana. Chakula kimepikwa kikapikika.

Kauli ya kutendeka huonyesha kuwa kitendo kimefanyika. Kwa hivyo ni lazima kitendo kiwe kimefanywa ili nacho kifanyike. 
Ikiwa kitendo huishia kwa irabu au vokali (a,e,i,o,u) mnyambuliko wa kitendo hicho hubadilika na kuongezea l. Hapa pana mifano miwili ya minyambuliko hiyo.
    A
i) lima - limika
ii) pika - pikika
iii) piga - pigika
iv) osha - osheka
v)  imba - imbika

           B
i) tia - tilika
ii) oa - oleka
iii) lea - leleka
iv) tii - tiilika
v) pokea - pokeleka.

JIBU MASWALI HAYA KWA KAULI IFAAYO YA KUTENDEKA.

1. Kemboi alikimbia mbio za masafa marefu___

2. Yusuf amekunywa maziwa ______

3. Mama Aisha amefua nguo _____

4. Mtoto alimuua mdudu _____

5. Githiga hucheza soka hadi _____

6. Askari walimtoa mwizi mbio mpaka ______

7. Tumesoma Kiswahili _____

8. Mwalimu Mwasimba alilighani shairi hadi ____

9. Ni vuzuri kufanya kazi vizuri hadi______

10. Jogoo aliwika hadi _____

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WeCreativez WhatsApp Support
One of our Teachers is here. Ask for help
Hi, how can I help