KISWAHILI GREDI YA 4 MWISHO WA MWAKA 2024June 28, 2020GRADE 2 CREJune 30, 2020 0 KISWAHILI 8,, Welcome to your KISWAHILI 8,, Name Class Phone KISWAHILI DARASA LA 8SOMO : KAULI YA KUTENDEKA.Tazama picha hizi.(i) Huyu ni mzee Thuranira. Mzee Thuranira amelima shamba lake ili apande viazi. Shamba hili limelimwa likalimika. (ii) Huyu ni mam Sein. Mama Sein amepika chakula kitamu sana. Chakula kimepikwa kikapikika.Kauli ya kutendeka huonyesha kuwa kitendo kimefanyika. Kwa hivyo ni lazima kitendo kiwe kimefanywa ili nacho kifanyike. Ikiwa kitendo huishia kwa irabu au vokali (a,e,i,o,u) mnyambuliko wa kitendo hicho hubadilika na kuongezea l. Hapa pana mifano miwili ya minyambuliko hiyo. Ai) lima - limikaii) pika - pikikaiii) piga - pigikaiv) osha - oshekav) imba - imbika Bi) tia - tilikaii) oa - olekaiii) lea - lelekaiv) tii - tiilikav) pokea - pokeleka.JIBU MASWALI HAYA KWA KAULI IFAAYO YA KUTENDEKA.1. Kemboi alikimbia mbio za masafa marefu___ Zikakimbilika Zikakimbika None 2. Yusuf amekunywa maziwa ______ yakanyweka yakanyweleka None 3. Mama Aisha amefua nguo _____ zikafuka zikafulika None 4. Mtoto alimuua mdudu _____ akaulika akawulika None 5. Githiga hucheza soka hadi _____ inachezeleka inachezeka None 6. Askari walimtoa mwizi mbio mpaka ______ akatoka akatoleka akatoloka None 7. Tumesoma Kiswahili _____ kikasomeleka kikasomeka None 8. Mwalimu Mwasimba alilighani shairi hadi ____ likaghanika likaghanilika None 9. Ni vuzuri kufanya kazi vizuri hadi______ ifanyilike ifanyike None 10. Jogoo aliwika hadi _____ akawikika kukawikika None Time's up Wanto Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ