KISWAHILI 5June 20, 2020CLASS 7 SCIENCEJune 20, 2020 0 SHUGHULI ZA KISWAHILI GREDI YA 2 Welcome to your SHUGHULI ZA KISWAHILI GREDI YA 2 SHUGHULI ZA KISWAHILI GREDI YA TATU.NYUMBANINyumbani ni mahali ambapo watu huishi. Nyumbani kuna vitu vingi sana kama: jikoni - pahali pa kupikia chakula sebuleni - chumba cha kuwapokelea wageni kinyemela - chumba cha ndani cha kulala bafu - chumba cha kuogea msalani - chumba cha kwenda haja sofa au kochi - kiti cha kukalia kandambili au malapa - viatu vya kuende bafu takia - mto unaowekwa kwenye sofa foronya - mfuko wa kuingiza takia rafu - sehemu ya kuweka vitabu. JIBU MASWALI.1. Chumba cha kupokelea wageni huitwa________ jikoni sebuleni None 2. Nyumbani watu huogea ____ chooni bafuni None 3. Mto unaowekwa kwenye sofa huitwa____ mkoba takia None 4. Ni wapi chakula hupikiwa?_____ jikoni kinyemelani None 5. Ukitaka kwenda kuoga utavaa viatu gani?___ vya raba kandambili None 6. Mtu hutumia taulo anapoenda wapi? jikoni bafuni None 7. Ni nini utapata sebuleni? jembe runinga None 8. Vyombo vya jikoni ni kama vile _____ sahani na kompyuta kijiko na kikombe None Your new question! None 9. Foronya ni mfuko wa kuwekea _____ vitabu mto None 10. Sehemu ya kuweka vitabu huitwa____ rafu msalani None Time's up Wanto Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ