KISWAHILI DARASA LA 5
NOVEMBA 2020.
MADA: KIULIZI PI?
TAZAMA SENTENSI HIZI
Kiulizi pi huandamana na ngeli ya neno.
Ni mtoto yupi aliyechelewa kuingia darasani?
- Ni kitabu kipi kilichopotea?
- Ni sahani ipi imevunjika?
- Chupa zilizoanguka ni zipi?
- Gari la baba ni lipi?
- Mkoba uliopotea ni upi?
- Vyombo vilivyoibwa ni vipi?
SASA JIBU MASWALI YAFUATAYO KWA KIULIZI
~PI?1. Ni mgonjwa __________ aliyepelekwa hospitalini?