Welcome to your GRADE 2 KISWAHILI
SHUGHULI ZA KISWAHILI GREDI YA 2MADA KUU: SHULENI.MADA NDOGO : SARUFISOMO : MATUMIZI YA ~ako NA ~enu.Tazama picha hizi. Picha ya kwanza ina mwanafunzi mmoja.Picha ya pili ina wanafunzi wawili.Kama mwanafunzi wa kwanza yuko karibu basi utamwambia;>kalamu hiyo ni yako>ufutio huo wako>miwani ile ni yako>dawati hilo ni lako.Katika picha ya pili, kama wanafunzi hao wako karibu na wewe, utawaambia;>vitabu hivyo ni vyenu>Kalamu hizo ni zenu>Mikoba hiyo ni yenu.~ako hutumiwa kuambia mtu aliye karibu na wewe kwamba kitu ni chake, ni yeye mwenyewe.~enu hutumiwa kuambia watu walio karibu na wewe kuwa kitu au vitu ni vyao, ndio wenyewe.FANYA MASWALI HAYA.1. Kalamu ______ iko wapi?
2. Kitabu _______ ni kizuri
3. Mama ______ anawaita.
4. Baba ______ ni mrefu.
5. Vikombe _______ vina maji.
6. Darasa ________ limeoshwa.
7. Simu ______ ina picha nzuri.
8. Nyumba _______ ina baridi.
9. Umeuona mkoba _______?
10. Nguo hizo ______ zina maua mazuri.
Time's up
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *
Website
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ