Welcome to your GRADE 3 KISW LITERACY
GRADE 3 LITERACY IN KISWAHILI ACTIVITY.MADA KUU : KUSOMAMADA-NDOGO : SAUTI ZINAZOTAMKWA PAMOJA MB NA NDHuyu ni Susana. Susana anafanya nini?SHUGHULI YA 1.Soma hadithi hii.Jumapili iliyopita, Susana na kaka yake walikuwa wakichunga mbuzi.Susana alikuwa akiimba wimbo mzuri waliofunzwa shuleni. Ndugu yake alikuwa akiwapa mbuzi wao maji kwa ndoo. Hapo karibu palikuwa na mti uliozaa ndimu nyingi. Mara ndege wengi wakaja katika mti huo. Ndipo ndugu yake Susana akakimbia na kuchukua jiwe akawarushia. Wakaruka wakaenda. Susana hakupenda hivyo.Mwambie mzazi wako au mlezi akusaidie kusoma maneno haya mkizingatia kutamka Mb na Nd.i) mbuziii) imbaiii) wimboiv) nduguv) ndoovi)ndimuvii) ndegeviii) kimbiaix) endax) penda SHUGHULI YA 2.JIBU MASWALI HAYA.1. Nyumbani kwetu ni _______ na shuleni.
2. Maji ya ______ huponya mafua.
3. Ni vizuri ______ Mungu.
4. Nampenda ______ wetu sana.
5. Tutaenda katika uwanja wa _____ kumpokea mjomba.
6. Mtoto wa ndege huitwa ______.
7. Kuku mgeni hakosi _______ mguuni.
8. Ukimaliza _______ kazi yako umpe mwalimu.
9. ______ la rais huitwa ikulu.
10. Kifaa cha kukunia nazi huitwa _______.
Time's up
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *
Website
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ