KISWAHILI 6

KISWAHILI 7
June 17, 2020
MATHS 6
June 18, 2020

KISWAHILI 6

Welcome to your KISWAHILI 6

MUHULA WA PILI 2020
KISWAHILI

ISTIARI
Istiari ni tamathali ya lugha ambapo tunalinganisha mtu/kitu na kingine moja kwa moja pakiwa na maana fiche.
Kwaa mfano:
a) Baba ni simba -ni mkali
b) Juma ni panya - ni mnafiki
c) Esther ni hurulaini - ni mrembo sana
d) Simu ya baba ni nanga - ni nzito sana
e) Mkoba wangu wa shule ni unyoya - ni mwepesi sana.

ZOEZI
Elezea maana ya istiari zifuatazo:
1. Mzigo huu wako ni pamba -

2. Watoto hawa huishi jehanamu

3. Rafiki yangu ni twiga -___

4. Ismael ni kinyonga - _____

5. Siti Muthoni ni mchwa - ___

6. Elimu ni bahari - _____

7. Maji haya ya kuoga ni barafu

8. Shangazi yangu ni baridi

9. Mtoto wa jirani yetu ni kasuku

10. Maria na Salma ni tausi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WeCreativez WhatsApp Support
One of our Teachers is here. Ask for help
Hi, how can I help