GRADE 4 MUSICJune 23, 2020GRADE 2 MATHS.June 24, 2020 0 KISWAHILI 7. Welcome to your KISWAHILI 7. Name Class Phone SOMO LA KISWAHILI DARASA LA 7 - MUHULA WA 2 2020.VITAWEVitawe ni maneno yenye maana zaidi ya moja;yaani neno moja lakini lina maana zaidi.Tazama picha hizi: Maria amekaa kitini. Huyu ni kaa Nyumba ina paa jekundu Huyu ni paa Kutokana na picha hizi, tunaweza kuona neno kaa lina maana mbili, kuketi na pia mnyama. Aidha neno paa lina maana mbili, sehemu ya juu ya nyumba na mnyama. Mifano mingine ya vitawe ni :Vua pia pandafua mlango barabarachupa simu chuchurudi meza bibiZOEZI.Najua nondo, nyoka mkubwa sana. Nondo pia ni_____________ mdudu kama kipepeo anayeruka usiku mnyama wa jamii ya samaki mtu mjinga None 2. Najua noma,kadi ya kuthibitisha mtu alikuwa kazini. Je, wajua noma gani tena? kupenda mambo mabaya kizuizi au pingamizi ya jambo kikombe cha chai ya kahawa None 3. Najua ulimi, sehemu refu ya moto. Je wajua ulimi gani tena? Mkondo wa maji Upepo mkali Kiungo cha mwili mdomoni. None 4. Najua panda, sehemu ya uso. Je wajua panda gani tena? katikati ya vidole chini ya mguu sehemu ya mgongo None 5. Najua mji, kwenye majumba mengi marefu. Je, wajua mji gani tena? nyumbani msituni kuliko na maji mengi None 6. Najua shuka, kipande cha nguo. Je, wajua shuka gani tena? mahali palipojengwa teremka kutoka juu kamata kitu None 7. Najua kibao, ubao wa kukatia nyama. Je wajua kibao kingine kipi? shilingi ishirini mti mrefu sana kofi None 8. Najua kuendesha, kupeka gari. Je, wajua kuendesha gani tena? Ugonjwa wa kwenda choo cha majimaji kuweka gari maegeshoni kusimamisha mtu kazi None 9. Najua sahani, chombo cha kulia chakula. Je wajua sahani gani tena? ya kufunikia chungu chombo cha kuchotea maji kanda ya santuri/muziki None 10. Najua ziwa, sehemu ya nchi yenye maji mengi. Je wajua ziwa gani tena? Titi la mtu au mnyama maji meupe ya kunywa ng'ombe wa kukama None Time's up Wanto Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ