KISWAHILI DARASA LA 8.
MADA: SARUFI
MADA NDOGO: Mkato wa maneno yenye Sauti nne.

Huyu ni Mama Kasioki. Mama Kasioki anavuna mboga za majani katika shamba lake. Shambale ni kubwa sana. Anataka kupika ugali ale na wana wake. Wanawe wakimaliza kula wataenda kucheza. Mama naye atavua kanga yake ili aifue. Kangaye ikikauka, atajifunga tena. Watoto wasipocheza vizuri wataumizana. Kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimengu.
Maneno yaliyo angaziwa ni mkato wa maneno yenye sauti nne.
- Shamba lake - shambale
- Mama yake - mamaye
- Kanga yake - kangaye
- Wana wake - wanawe
Katika kukata sauti nne, onatoa sauti mbili za katikati kisha unaunganisha mbili zinazobaki. Kwa mfano
- Kalamu Y
ake - kalamuye - Gari l
ake - garile.
Hata hivyo, kimilikishi wako hukatwo na kubaki
o pekee.
NB: Vimilikishi vyenye maneno matatu havifupishwi. Mfano
- yao
- pao
- lao - hubaki vivyo hivyo.
MASWALI. Fupisha maneno yaliyoangaziwa katika sentensi.
1. Baba yake Juma ni kandawala.