KISWAHILI GREDI YA 1 MWISHO WA MWAKA 2024April 13, 2021GRADE 6 AUGUST 2024 SCIENCE HOMEWORKApril 15, 2021 0 KISWAHILI GREDI YA 3 MWISHO WA MWAKA 2024 Welcome to your KISWAHILI GREDI YA 3 MWISHO WA MWAKA 2024 Name Class Phone Number KAZI YA LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA,2024.SHUGHULI ZA KISWAHILI GREDI YA 3.Hiki hapa chini ni kiungo cha video. Kibofye ili upakue video hiyo halafu uisikilize. Ukishindwa mwambie mzazi wako akusaidie kuipakua.Mgaagaa Na Upwa -Mkulima Hodari Wa Mboga.Mwambie mzazi au msaidizi wako akusaidie kujua maana ya maneno haya: kujikakamua riziki nakshi bustani nawiri chuma palilia mapato wateja tia bidii virutubishi mgaagaa upwa wali Sasa jibu maswali haya.1. Kamilisha msemo huu kama ulivyosikia. 'Mke ni ______ mama nyumba wangu None 2. Mkulima huyu yuko katika sehemu gani ya Kenya?_____ Nyeri Nakuru Kapenguria None 3. Mkulima huyu analima nini? Sukumawiki Kabeji Mahindi None 4. Watu wengi katika sehemu anayoishi mkulima huyu hupendelea_____ ufugaji ukulima kuuza sokni None 5. Atauza kabeji ngapi ili aweze kupata shilingi hamsini? 2 3 4 None 6. Neno bustani limetajwa katika video. Linamaanisha nini? Maji ya kunywa yanayoongeza nguvu mwilini Msitu wa kulisha wanyama kishamba kidogo karibu na nyumba cha kupanda mboga None 7. Kutoa magugu shambani kwa jembe au upanga ni _______ kung'oa kuvuna kupalilia None 8. Mkulima huyu anasema kuwa pia huuza mboga zake katika shule za ______ kwao malazi jirani None 9. Msimulizi anasema kuwa shamba la mkulima huyu_____ ni kubwa linapendeza ni bovu. None 10. Kamilisha methali hii. Mgaagaa na upwa hali _______ wali mkavu ugali na kabeji chakula ambacho hakijaiva. None Tumia maneno uliyosikia katika video kukamilishia sentensi hizi.11. Mchele uliopikwa huitwa____ virutubishi nawiri wali None 12. Watu ambao humnunulia mtu vitu vyake huitwa _____ wateja mapato riziki None 13. Ili mtu afanikiwe kazini, ni lazima atie____ riziki bidii maji None 14. Faida anayopata mtu akiuza bidhaa zake za shambani huitwa____ bustani virutubishi mapato None 15. Ili miili yetu isipatwe na magonjwa, ni lazima tule vyakula vyenye _______ virutubishi kujikakamua chuma None Tumia Yeye au Wao kukamilisha.16. _______ atalima. 17. ________ watapalilia mtama. 18. ______ wataimba vizuri. 19. _______ atasoma kitabu. 20. ______ watalala mapema. Chagua jibu sahihi kujalizia pengo.21. Chupa ________ zimevunjika ( yao, zao). 22. Vitabu _________ ni vipya. (chao, vyao, lao) 23. Kalamu _______ inamwaga wino. ( zake, wake, yake) 24. Mkeka ______ umeoshwa vizuri. (yao, wao, yake) 25. Gari _______ limepakwa rangi.( lake, yake, zake) lake None Andika nambari hizi kwa tarakimu.26. Themanini na nne. 27. Tisini na sita 28. Arubaini na nne 29. Thelathini na tisa 30. Hamsini na saba Watu ambao hufanya kazi hizi huitwaje?31. Huendesha gari _____ 32. Huvua samaki ___ 33. Hutengeneza vifaa vya mbao... 34. Hutabiri mambo kwa kutumia elimu ya nyota.... 35. Hulima shambani..... Elezea maana ya Alama hizi.36. Kuna hospitali Kuna nyumba Kuna hatari mbele None 37. Kuna shule Kivuko cha umma kuna daraja None 38. Watu wanapiga kula Kuna mkutano Kuna vyoo vya kujisaidia None 39. Usiibe Kuna askari karibu Kuna wezi karibu None 40. Tahadhari kuna wanyamapori Twiga ni mrefu kuliko ndovu Usilale hapa None HONGERA! UMEMALIZA KAZI YAKO YA LIVU. None Time's up Wanto Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ