GRADE 3 END OF YEAR 2024 ENGLISHJuly 16, 2020KISWAHILI 3..September 16, 2020 0 GREDI 5 MWISHO WA MWAKA 2024…..KISWAHILI Welcome to your GREDI 5 MWISHO WA MWAKA 2024.....KISWAHILI Name Class Phone KISWAHILI GREDI YA 5 MWISHO WA MWAKA 2024JIBU MASWALI YOTE HAPA MTANDAONI.Kutoka swali 1-10, chagua jibu lililo bora zaidi kutoka uliyopewa hapo chini.Siku ya __1__ ilikucha __2__ kawaida. Niliamka na kujitayarisha __3___ niende kanisani ___4__ Mungu. Baada ya kula chakula cha asubuhi;yaani __5__, nilioga na __6__ nguo zangu zilizometameta __7___! Nilichukua __8__ yangu na __9___. Nilifika kanisani ___10___.1. Jumambili Dominika Jumafili None 2. kwa na kama None 3. ili ila ile None 4. kumuabudu kumkasirisha kumcheka None 5. kiamshakinywa kilalio kishuka None 6. kuvua kuvia kuvaa None 7. meee metu metu maaa None 8. biblia korani kamusi None 9. kung'oa nanga kutia nanga kuosha nanga None 10. kufa na kupona milele na milele salama salmini None Kutoka swali la 11-20, jibu kila swali kulingana na maagizo yake.11. Mtu anayetengeneza vitu vya urembo kutoka kwa madini ya dhahabu huitwa___ sonara mhunzi mjumu None 12. Siku kabla ya Ijumaa huitwa____ Jumamosi Alhamisi Jumatano None 13. Kamilisha. Idi ni mrefu _____ Juma. kuniliko kumliko kuliko None 14. Ng'ombe, mbuzi, kondoo na nguruwe wote huitwa___ wanyama mifugo nyama None 15. Mahali patakatifu anapokaa mhubiri kanisani na kutolea ibada panaitwa___ madhabahuni jukwaani mbeleni None 16. Kamilisha methali hii. Mcheza kwao _____ hutuzwa hutandikwa hajijui None 17. Shilingi ilianguka sakafuni ikalia_____ shili shili! chakaaa! tang'! None 18. Tumia amba. Kuku _____ hatagi afaa kuchinjwa. ambao ambaye ambayo None 19. Wasichana wote ni _____ isipokuwa Zuena. wasafi safi msafi None 20. Ugonjwa wa Malaria husababishwa na ______ nyuki homa mbu None SEHEMU YA B:andika sentensi kumi katika kitabu chako kuhusu jinsi ulivyosherehekea likizo yako. None Soma majadiliano haya kati ya utingo na abiria kisha ujibu maswali yafuatayo.UTINGO: Gari wazi, gari wazi!ABIRIA: Unafika wapi?UTINGO: Gari mpaka mjini mama, mbao! Mbao!ABIRIA: Mbao ndio nini sasa?UTINGO: Mbao ni ishirini mama.ABIRIA: Haya sawa, acha niingie.(Akiwa ndani) Mbona hakuna viti na umesema gari wazi?UTINGO: Huoni viti mama, hivi vimekaliwa na wengine ni nini?ABIRIA: Na mimi nitaketi wapi?UTINGO: Kuna mzee anashuka hapa mbele, ngojea (akidai nauli). Lipa nauli yako basi.ABIRIA: (Akimpa utingo shilingi ishirini).UTINGO: Mama nauli ni shilingi arubaini. ABIRIA: Ulisema ni ishirini, ulisema mbao ni ishirini kijana (abiria amehamaki)UTINGO: Nilisema mbao!Mbao! Kwani mbao na mbao ni ngapi mama?ABIRIA: Basi mimi sina arubaini, nina ishirini tu.UTINGO: Basi shuka haraka mama, shuka hapa hakuna gari la bure!Tazama maana ya maneno haya katika kamusi yako: Utingo nauli abiria hamaki Yatumie maneno hayo kukamilisha sentensi hii kwa usahihi.21. Msafiri hulipa ______ katika chombo cha usafiri. 22. Mtu anawea kushikwa na _____ kwa sababu ya kukosewa. 23. ______ hafai kulipisha wasafiri bei ghali a usafiri. 24. Mtu anayesafiri kwa gari au ndege huitwa _____ 25. Kulingana na majadiliano uliyosoma, tunawea kusema kuwa utingo ni mtu _____ mwenye heshima asiye na heshima kwa abiria mvumilivu sana None 26. Utingo alipokuwa akisema gari wazi alikuwa akimaanisha nini? Gari halina abiria yeyote ndani Gari lilikuwa halina viti vyovyote Gari lilikuwa na nafasi ya kubeba abiria zaidi None 27. Utingo alipokuwa akisema gari ni mbao!Mbao! Alitarajia nini? Abiria wanaelewa lugha yake Alitaka kuwachanganyisha abiria akili Alitaka kila abiria alipe mbao kwenda mjini None 28. Ni kweli kuwa abiria huyu anayeongea na utingo... hajawahi kufika mjini tena hapendi kulipa nauli kamili anavyoambiwa alichanganywa akili na lugha ya utingo. None 29. Unafikiri abiria wengine walifanya nini wakati utingo alipomwambia abiria mwenao ashuke? Hawakufurahia kitendo hicho Walishangilia sana Walimsifu utingo kwa kumuondoa abiria msumbufu. None 30. Mtu anayechukua nauli katika gari huitwa utingo, anayechukua nauli katika garomoshi huitwaje? kondakta serahangi kandawala None LIKIZO NJEMA, KILA LA HERI! None Time's up Wanto Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ