Welcome to your GREDI 5 MWISHO WA MWAKA 2024.....KISWAHILI
KISWAHILI GREDI YA 5 MWISHO WA MWAKA 2024JIBU MASWALI YOTE HAPA MTANDAONI.Kutoka swali 1-10, chagua jibu lililo bora zaidi kutoka uliyopewa hapo chini.Siku ya __1__ ilikucha __2__ kawaida. Niliamka na kujitayarisha __3___ niende kanisani ___4__ Mungu. Baada ya kula chakula cha asubuhi;yaani __5__, nilioga na __6__ nguo zangu zilizometameta __7___! Nilichukua __8__ yangu na __9___. Nilifika kanisani ___10___.1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
Kutoka swali la 11-20, jibu kila swali kulingana na maagizo yake.11. Mtu anayetengeneza vitu vya urembo kutoka kwa madini ya dhahabu huitwa___
12. Siku kabla ya Ijumaa huitwa____
13. Kamilisha. Idi ni mrefu _____ Juma.
14. Ng'ombe, mbuzi, kondoo na nguruwe wote huitwa___
15. Mahali patakatifu anapokaa mhubiri kanisani na kutolea ibada panaitwa___
16. Kamilisha methali hii. Mcheza kwao _____
17. Shilingi ilianguka sakafuni ikalia_____
18. Tumia amba. Kuku _____ hatagi afaa kuchinjwa.
19. Wasichana wote ni _____ isipokuwa Zuena.
20. Ugonjwa wa Malaria husababishwa na ______
SEHEMU YA B:andika sentensi kumi katika kitabu chako kuhusu jinsi ulivyosherehekea likizo yako.
Soma majadiliano haya kati ya utingo na abiria kisha ujibu maswali yafuatayo.UTINGO: Gari wazi, gari wazi!ABIRIA: Unafika wapi?UTINGO: Gari mpaka mjini mama, mbao! Mbao!ABIRIA: Mbao ndio nini sasa?UTINGO: Mbao ni ishirini mama.ABIRIA: Haya sawa, acha niingie.(Akiwa ndani) Mbona hakuna viti na umesema gari wazi?UTINGO: Huoni viti mama, hivi vimekaliwa na wengine ni nini?ABIRIA: Na mimi nitaketi wapi?UTINGO: Kuna mzee anashuka hapa mbele, ngojea (akidai nauli). Lipa nauli yako basi.ABIRIA: (Akimpa utingo shilingi ishirini).UTINGO: Mama nauli ni shilingi arubaini. ABIRIA: Ulisema ni ishirini, ulisema mbao ni ishirini kijana (abiria amehamaki)UTINGO: Nilisema mbao!Mbao! Kwani mbao na mbao ni ngapi mama?ABIRIA: Basi mimi sina arubaini, nina ishirini tu.UTINGO: Basi shuka haraka mama, shuka hapa hakuna gari la bure!Tazama maana ya maneno haya katika kamusi yako:
22. Mtu anawea kushikwa na _____ kwa sababu ya kukosewa.
23. ______ hafai kulipisha wasafiri bei ghali a usafiri.
24. Mtu anayesafiri kwa gari au ndege huitwa _____
25. Kulingana na majadiliano uliyosoma, tunawea kusema kuwa utingo ni mtu _____
26. Utingo alipokuwa akisema gari wazi alikuwa akimaanisha nini?
27. Utingo alipokuwa akisema gari ni mbao!Mbao! Alitarajia nini?
28. Ni kweli kuwa abiria huyu anayeongea na utingo...
29. Unafikiri abiria wengine walifanya nini wakati utingo alipomwambia abiria mwenao ashuke?
30. Mtu anayechukua nauli katika gari huitwa utingo, anayechukua nauli katika garomoshi huitwaje?
LIKIZO NJEMA, KILA LA HERI!
Time's up
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *
Website
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ