KISWAHILI 5..

KISWAHILI 6..
June 28, 2020
KISWAHILI GREDI YA 4 MWISHO WA MWAKA 2024
June 28, 2020
KISWAHILI 6..
June 28, 2020
KISWAHILI GREDI YA 4 MWISHO WA MWAKA 2024
June 28, 2020

KISWAHILI 5..

Welcome to your KISWAHILI 5..

KISWAHILI DARASA LA 5. MUHULA WA PILI.

VIUNGO VYA NJE VYA MWILI.


Hivi ni viungo vya nje vya mwili wa binadamu. Viungo hivi hufanya kazi mbalimbali. Kila kiungo kina kazi yake. Aidha kila kiungo husaidiana na vingine katika kufanya kazi za mwili.

  •  Kipaji - sehemu ya mbele ya uso
  • kisogo - sehemu ya nyuma ya kichwa.
  • nyusi - nywele zilizopo juu ya macho
  • kope - nywele zinazozuia macho kuingia vumbi.
  • masharubu - nywele zinazoota katikati ya pua na mdomo
  • ndevu - nywele zinazoota kidevuni
  • sharafa - nywele zinazoota mashavuni,
  • mboni - sehemu ya jicho inayotumiwa kuonea.
  • kisigino - sehemu ya nyuma ya wayo.

MASWALI
1. Sehemu ya mkono panapovaliwa saa huitwa ______

2. Sehemu ya sikio inayovaliwa herini huitwaje?_____

3. Mtu hukanyaga chini kwa kutumia ______

4. Sehemu iliyo katikati ya kichwa huitwa _____

5. Sehemu ya mbele ya mguu huitwaje?_______

6. Kishimo kilicho katikati ya tumbo huitwaje?_____

7. Mimi ni aina ya nywele. Huwa ninaota miguuni, mikononi na kifuani. Mimi huitwa_

8. Nywele zinazoota katikati ya mdomo na pua huitwa _____

9. Sehemu iliyo katikati ya vidole huitwaje?____

10. Sehemu inayounganisha shingo na mkono huitwaje?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WeCreativez WhatsApp Support
One of our Teachers is here. Ask for help
Hi, how can I help