KISWAHILI 6..June 28, 2020KISWAHILI GREDI YA 4 MWISHO WA MWAKA 2024June 28, 2020 0 KISWAHILI 5.. Welcome to your KISWAHILI 5.. Name Class Phone KISWAHILI DARASA LA 5. MUHULA WA PILI.VIUNGO VYA NJE VYA MWILI.Hivi ni viungo vya nje vya mwili wa binadamu. Viungo hivi hufanya kazi mbalimbali. Kila kiungo kina kazi yake. Aidha kila kiungo husaidiana na vingine katika kufanya kazi za mwili. Kipaji - sehemu ya mbele ya uso kisogo - sehemu ya nyuma ya kichwa. nyusi - nywele zilizopo juu ya macho kope - nywele zinazozuia macho kuingia vumbi. masharubu - nywele zinazoota katikati ya pua na mdomo ndevu - nywele zinazoota kidevuni sharafa - nywele zinazoota mashavuni, mboni - sehemu ya jicho inayotumiwa kuonea. kisigino - sehemu ya nyuma ya wayo. MASWALI1. Sehemu ya mkono panapovaliwa saa huitwa ______ kiganja kiwiko None 2. Sehemu ya sikio inayovaliwa herini huitwaje?_____ pua ndewe None 3. Mtu hukanyaga chini kwa kutumia ______ wayo kitanga None 4. Sehemu iliyo katikati ya kichwa huitwa _____ utosi panda None 5. Sehemu ya mbele ya mguu huitwaje?_______ muundi kiko None 6. Kishimo kilicho katikati ya tumbo huitwaje?_____ kidakatonge kitovu None 7. Mimi ni aina ya nywele. Huwa ninaota miguuni, mikononi na kifuani. Mimi huitwa_ malaika nyuzi None 8. Nywele zinazoota katikati ya mdomo na pua huitwa _____ sharafa masharubu None 9. Sehemu iliyo katikati ya vidole huitwaje?____ panda kitengele None 10. Sehemu inayounganisha shingo na mkono huitwaje? kifua bega None Time's up Wanto Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ