Welcome to your KISWAHILI 5
KISWAHILI DARASA LA TANOHOSPITALINI.
2. Chumba ambamo wagonjwa ambao hali zao za kiafya ni mbaya sana hulazwa huitwa_______
3. Ili daktari ajue hali ya mapigo ya moyo ya mgonjwa atatumia_____
4. Wagonjwa wanaohitaji matibabu ya haraka sana hupelekwa katika____
5. Daktari huvaa ____mikononi ili huzuia asiambukizwe na viini.
6. Kifaa cha kukagua viungo ndani ya mwili kwa kupiga picha huitwa eksirei au __
7. Mgonjwa akipelekwa hospitalini imhitaji kulala huko tunasema kuwa ame___
8. Mtu akifa hospitalini atahifadhiwa katika chumba kinachoitwa____
9. Hospitali ndogo inayotoa huduma chache za afya huitwa____
10. Kamilisha methali hii : Gangaganga za mganga______
Time's up
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *
Website
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ