MATHEMATICS 8June 19, 2020SHUGHULI ZA KISWAHILI GREDI YA 2June 20, 2020 0 KISWAHILI 5 Welcome to your KISWAHILI 5 KISWAHILI DARASA LA TANOHOSPITALINI. Hospitali ni pahali ambapo mtu hupelekwa ili apewe matibabu akiwa mgonjwa. Katika hospitali kuna muuguzi ambaye huumpa mgonjwa huduma. Pia huitwa nesi. Mtu ambaye humtibu mgonjwa huitwa mganga, tabibu au daktari. Chumba ambacho wagonjwa hulazwa huitwa wodi. Chumba cha wogonjwa mahututi huitwa sadaruki. Ikiwa mtu anahitaji upasuaji, basi hupelekwa thieta. Kuna sehemu ya hospitali ambayo hushughulikia huduma za dharura kama vile ajali, moto n.k Kipimajoto hutumiwa na daktari ili kupima joto la mgonjwa mwilini Kipimamwili hutumiwa na daktari kupimia mapigo ya moyo. Bandeji humfunga mgonjwa aliyuvunjika kiungo cha mwili. Kuna glavu ambazo wahudumu huvaa mikononi ili wasiambukizwe viini. Ukiwa mtu amevunjika kiungo cha mwili, atahitaji kuchunguzwa kwa uyoka ili kuonekana jinsi alivyovunjika. Siku hizi kila mtu akienda hospitalini anahitajika kuvaa kibarakoa mdomoni ili kujikinga na ugonjwa wa korona. MASWALI.1. Mtu anayewapokea wagonjwa hospitalini na kuwapa huduma ni____ muuguzi daktari ni daktari wa upasuaji None 2. Chumba ambamo wagonjwa ambao hali zao za kiafya ni mbaya sana hulazwa huitwa_______ wodi thieta sadaruki None 3. Ili daktari ajue hali ya mapigo ya moyo ya mgonjwa atatumia_____ kipimamwili kipimajoto kipimamoyo None 4. Wagonjwa wanaohitaji matibabu ya haraka sana hupelekwa katika____ chumba cha huduma za dharura chumba cha huduma ya kwanza wodi ya wagonjwa wa kawaida None 5. Daktari huvaa ____mikononi ili huzuia asiambukizwe na viini. glovu glavu bandeji None 6. Kifaa cha kukagua viungo ndani ya mwili kwa kupiga picha huitwa eksirei au __ kipimamwili kathieta uyoka None 7. Mgonjwa akipelekwa hospitalini imhitaji kulala huko tunasema kuwa ame___ lazwa lala baki None 8. Mtu akifa hospitalini atahifadhiwa katika chumba kinachoitwa____ mochwari thieta wodi None 9. Hospitali ndogo inayotoa huduma chache za afya huitwa____ zahanati Mama Lucy hosi None 10. Kamilisha methali hii : Gangaganga za mganga______ humganga mganga humganga mgonjwa humuacha mgonjwa na matumaini None Time's up Wanto Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ