Welcome to your KISWAHILI DARASA LA 6 2021
KAZI YA ZIADA YA LIVU YA MWISHO WA MWAKA, 2021
2. Abunuwasi alimnunua mbuzi akiwa na nia ya ______
3. Abunuwa alikiona kiatu _____
4. Kiatu alichokiona njiani....
5. Abuwasi alikitafuta kiatu cha pili wapi?
6. Je, abunuwasi aliamumua kufanya nini na kile kiatu cha kwanza?
7. Maana ya neno pembezoni kama lilivyotumika katika kifungu ni ____
8. Ni nini kilimfanya Abunuwasi ashangae?
9. Kulingana na aya ya mwisho,......
10. Ni methali gani ambayo ingetumiwa kumwelimisha Abunuwasi?
II) Tumia maneno uliyotafuta katika kamusi kujalizia sentensi hizi.i) Chepkoech ni ______ sana, akipewa deni huepuka kulipa.
ii) Baba anapenda kuwa______ ng'ombe wa maziwa sana.
iii) ________ mwalimu wetu alipoingia darasani, sote tulisimama.
iv) Mtu akikataa kufanya kazi atakuwa ______ maishani.
v) ______ la kwenda shuleni ni kupata elimu.
vi) Mtu akifanya kazi akapata mali mengi anakuwa ____
vii) Wageni waliambiwa wasimame _____ mwa ofisi wamngoje meneja.
viii) Methali... ______ ilimwua fisi.
ix) Ng'ombe na mbuzi hupelekwa ______ kukipambazuka.
x) Kila mtu ni lazima afanye kazi ili ajipatie ______
B. MATUMIZI YA LUGHAJibu kila swali kulingana na maagizo yake.1. Chagua neno ambalo ni kivumishi katika sentensi hii: Mwanafunzi mtiifu hupewa zawadi.
2. Andika milioni sita laki sita tisini na sita elfu na tisa kwa tarakimu.
3. Kutokana na nomino mlaji tutaunda kitenzi ____
4. Shuleni kwetu ni karibu na kwao. Karibu iliyotumika huitwa karibu ya ____
5. Wingi wa neno dada ni _____
6. Malipo ya usafiri katika chombo chochote huitwa____
7. Kikembe cha sungura ni kitungule, cha farasi ni ______
8. Nzumari ni ala ya muziki ambayo huchezwa kwa _____
9. Upande mmoja wa karatasi ya kitabu kilichopigwa chapa huitwa___
10. Ni neno lipi kati ya haya si kiungo cha chakula? pilipili, pilau, bizari, dania.
11. ________ ni mnyama wa porini anayefanana na mbuzi, pia ni sehemu ya juu ya nyumba.
12. Chagua kiungo cha mwili ambacho ni tofauti na vingine. (ulimi,ubongo,utosi,utumbo)
13. Kimelea ambaye hupatikana katika undu wa kuku huitwaje?
14. Mshitakiwa husimama wapi akiwa mahakamani? ____
15. Kati ya zana hizi za vita, ni ipi ya kale? (manati,bunduki,kifaru,bomu)
C. MTUNGO.Chagua neno lililo bora zaidi kati ya manne uliyopewa hapo chini kujalizia nafasi zilizoachwa wazi.Ugonjwa wa Covid-19 sasa ___i___ makali yake baada ya ___ii____ watu ___iii____ sana. Hata ___iv____, kuna watu ___v____ wangali wanafanya mchezo kwa ____vi____ maagizo yaliyotolewa na Wizara ya ____vii____ . Watu kama hawa wanafaa kuchukuliwa ____viii____ kali, watozwe ____ix____ kubwa au wafungwe _____x____ . Ni vizuri kufuata maagizo ___xi____ ambayo ni ____xii_____ mikono kila mara, kukaa umbali wa ____xiii_____ na kuvaa ____xiv____. Tusipofanya hivyo tutakuja kujuta kwani ____xv____.i.
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
viii.
ix.
x.
xi.
xii.
xiv.
xv.
Time's up
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *
Website
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ